Mgomo wa Madaktari: Uhai wa Wakenya Uko Hatarini
Published Apr. 11, 2024
00:00
00:00

Mgomo wa madaktari unaoendelea sasa unatishia haki ya binadamu kwa uhai. Sepetuko inatoa wito kwa serikali na vyama vya madaktari kulegeza misimamo na kufumbua fumbo hili kwa faida ya raia.

Related Podcasts

Latest Podcasts