Mbolea Ghushi: Serikali Yajichanganya
Published Apr. 12, 2024
00:00
00:00

Serikali imeendelea kujikanganya kuhusu taarifa za kuwapo mbolea ghushi nchini. Waziri wa Kilimo sasa anadai kuwa iliyokuwapo sio mbolea ghushi ila mbolea isiyokuwa na madini hitajika. Who's fooling who?

Related Podcasts

Latest Podcasts