Aibu Kwa Bunge la Kitaifa!
Published Jun. 27, 2024
00:00
00:00

Hatua ya serikali kuwatuma wanajeshi kusaidia polisi kuwakabili waandamanaji ni ukiukaji mkubwa wa sheria za nchi. Inasikitisha kuwa Bunge la Kitaifa limetumiwa kutia muhuri uhayani huu! So unfortunate!

Related Podcasts

Latest Podcasts