Heshimu Wanahabari na Taaluma ya Uanahabari
Sepetuko
Jul. 25, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Maandamano yaliyofanywa na wanahabari nchini hayashinikizi lolote nje ya Katiba ya nchi. Yanashinikiza tu taaluma ya uanahabari kuheshimiwa na haki za wanahabari kulindwa kama ilivyo katika sheria za nchi. Wanahabari sio wahalifu, wao ni mwito wa kuitumikia nchi na wananchi wake.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Share this episode