Kumbukumbu ya Hatua za Kinidhamu na Maswali ya Hatima
Sepetuko
Jul. 30, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Chama cha ODM kimeendelea kutoa msimamo kinzani kuhusu hatua ya viongozi wake wakuu kujumuishwa serikalini, na kuibua kumbukumbu ya hatua za kinidhamu zilizochukuliwa dhidi ya Wabunge wake waliotangaza msimamo wao wa kushirikiana na serikali baada ya Uchaguzi Mkuu uliopita. Je, viongozi hawa wakuu wa chama hiki watachukuliwa hatua zozote. Kama sivyo, basi tusihadaiwe zaidi.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Share this episode