Kenya Kusaidia Haiti- Je, Ni Kafara au Ushujaa?: Sepetuko

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Marekani imeanza kuwaondoa nchini Haiti raia wake wanaofanya kazi kwenye Ubalozi wake nchini humo. Wakati uo huo, serikali ya nchi inaiomba Kenya kuharakisha mchakato wa kuwatuma maafisa wake wa polisi kuenda kudumisha usalama katika taifa hilo la eneo la Karibea. Hayo yanajiri huku magenge ya uhalifu yakiendeleza uhalifu katika nchi hiyo ya jumla ya watu milioni 11. Sepetuko inakariri kuwa kuwatuma maafisa wa polisi katika taifa hilo ni kuwatoa kafara wana wetu. Mbona serikali isifanye kipaumbele usalama wa raia wake kuliko kuwatuma walindausalama zaidi ya kilomita elfu 12 kutoka Kenya?

Share this episode
Kidney Transplant: Surgery, Purpose, Procedure & Recovery: Health & Wellness Podcast
Welcome to the Health and Wellness podcast. Today's episode features special guests Dr. Twahir Ahmed...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS