Siasa za Urithi ODM: Nani Afaa Kuvaa Kiatu cha Odinga?- SEPETUKO

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Hatua ya Kiongozi wa ODM kutangaza kuwania uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika AUC imeibua mjadala mkubwa kuhusu nani anafaa kuvaa kiatu chake kuongoza chama hicho? Sepetuko inakariri kauli ya muigizaji wa Marekani William Powell kuwa ''power must be taken. It is not given." Yeyote asiketi hapo na kusubiri kukabidhiwa usukani wa ODM.

Share this episode
Finding Love in Faith: The Bwanas' Story
On this episode of the Love Story podcast, we meet Anthony and Vivian Bwana, a couple married for se...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS