Mgomo wa Madaktari: Serikali Yalaumiwa Kwa Kupuuza Afya ya Wananchi
Sepetuko
Mar. 15, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Mgomo wa madaktari unaoendelea nchini unaionesha serikali kuwa isiyomjali raia. Afya ni kiungo muhimu katika uhai wa binadamu, hivyo serikali lazima ifanye kipaumbele suala la kuhakikisha kuwa wananchi wanapata huduma bora za matibabu. Ni muhimu kwa serikali kufanya mazungumzo na vyama vya madaktari ili kuhakikisha mwananchi hataabiki kupata huduma za matibabu.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode