Wito kwa Rais Ruto Kuzuia Maziko ya Vyombo vya Habari: Sepetuko

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Vyombo vya habari vilivyo dhabiti na huru ni msingi mojawapo wa demokrasia. Kwa demokrasia kuendelea kudumu nchini Kenya, ni muhimu kwa serikali kutolemaza vyombo vya habari vya kibinafsi vilivyopo. Sepetuko inamrai Rais William Ruto kutoruhusu maziko ya vyombo vya habari kufanyika wakati wa hatamu yake.

Share this episode
Empty Coffers Is A Narrative For Lazy People- Gitile Naituli
Is Kenya broke or just bad at managing its money? The Situation Room Podcast tackles this topic wit...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS