Ni Nani Anayewajibika kwa Mbolea Ghushi?- Sepetuko
Sepetuko
Mar. 21, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Taarifa za wakulima nchini kuuziwa mbolea ghushi zinaibua swali la Je, Kenya ni nchi ya ughushi? Tulifikaje kiwango hiki cha kuanza kuchezea uti wa mgongo wa uchumi wa nchi hii -Kilimo? Sepetuko inasisitiza kuwa kamwe haiwezekani tuendelee kufanya michezo hii na uzalishaji wa chakula nchini.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode