Je, Nairobi Iko Tayari Kukabiliana na Mvua Kubwa?

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mvua iliyonyesha usiku wa Jumapili imesababisha mauti na uharibifu mkubwa jijini Nairobi. Mvua hiyo imeonesha wazi jinsi miundomsingi iliyopo haina uwezo wa kustahimili mvua kubwa, hivyo kuna haja ya uekezaji wa kumaanisha katika miundomsingi ya ukusanyaji maji taka (drainage) ili kuwaepushia wakazi madhara.

Share this episode
We Got Married Without Jobs Now My Husband Is My Boss: The Love Story Podcast
Have you ever felt a connection so strong it left you speechless? This week on Love Story, we meet ...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS