Rais Ruto Awe Kiongozi Mwenye Uzalendo, Atatue Mgomo wa Madaktari: SEPETUKO
                                    
                                        Sepetuko
                                Mar. 28, 2024
                            
                            
Mgomo wa madaktari unaoendelea lazima ufanywe kipaumbele na serikali. Wagonjwa wanaendelea kutaabika kutokana na kushindwa kupatiwa huduma muhimu za matibabu. Sepetuko inasisitiza kuwa ni wakati Rais William Ruto aangazie mbinu za kusitisha mgomo huu ili kuokoa maisha ya Wanjiku.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa