Rais Ruto Awe Kiongozi Mwenye Uzalendo, Atatue Mgomo wa Madaktari: SEPETUKO

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mgomo wa madaktari unaoendelea lazima ufanywe kipaumbele na serikali. Wagonjwa wanaendelea kutaabika kutokana na kushindwa kupatiwa huduma muhimu za matibabu. Sepetuko inasisitiza kuwa ni wakati Rais William Ruto aangazie mbinu za kusitisha mgomo huu ili kuokoa maisha ya Wanjiku.

Share this episode
Why Taking Kenyan Police To Haiti Is Not Bad After All
Have you ever wondered if sending Kenyan police to Haiti could be a good thing? This episode of The ...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS