Usalama Barabarani: Kila Mtu Akiwajibika Kupunguza Ajali
Sepetuko
Apr. 08, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Description - Maelfu ya Wakenya wanaendelea kuaga dunia nchini kutokana na ajali barabarani. Familia zinaendelea kupoteza wapendwa wao kwa mnyama huyu anayeweza kuepukika. Ni wakati sasa sote tuwajibikie usalama barabarani -madereva, watumiaji wa miguu, wahudumu wa bodaboda na raia wengine. Jukumu la usalama barabarani sasa lazima liwe letu sote.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode