Mbolea Ghushi: Serikali Yajichanganya
Sepetuko
Apr. 12, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Serikali imeendelea kujikanganya kuhusu taarifa za kuwapo mbolea ghushi nchini. Waziri wa Kilimo sasa anadai kuwa iliyokuwapo sio mbolea ghushi ila mbolea isiyokuwa na madini hitajika. Who's fooling who?
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode