Nairobi Yazamishwa na Mafuriko: Serikali Iko Wapi?
Sepetuko
Apr. 16, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Mvua inayonyesha nchini inaanika wazi upungufu wa serikali katika kujiandaa kwa ajili ya msimu wa mvua ambao hutabiriwa mapema. Sepetuko inatoa changamoto kwa serikali kutafuta mbinu ya kuimarisha mfumo wa uzoaji majitaka, na kuvuna maji ya mvua kusaidia siku za usoni.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode