Serikali Inajitahidi Kweli Kupunguza Matumizi?
Sepetuko
Apr. 18, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Juma hili kumefanyika Kongamano la Kutathmini Viwango vya Mishahara na Marupurupu wanayopata wafanyakazi wa serikali. Rais amekariri kuwa serikali yake inajizatiti kupunguza mianya ya ufujaji serikalini. Sepetuko inasema kuwa kongamano hili na juhudi hizi ni kazi bure ikiwa serikali bado inaendelea kupanua viwango vya mishahara kwa kuwaajiri Mawaziri Wasaidizi CAS.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode