Kifo cha CDF Ogolla Kimezua Maswali Mengi; Wakenya Wadai Majibu

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Kweli ajali haina kinga. Hata hivyo tukio la Jenerali wa Jeshi la Nchi kufariki kwenye ajali ya ndege, akiwa ndani mwa nchi yake, ni jambo ambalo lazima lichunguzwe. Je, kunao waliolala kazini kiasi cha kuruhusu tukio hili kutokea au ni ajali tu kama ajali nyingine? Lazima pafanyike uchunguzi wa kina kubaini kilichojiri.

Share this episode
Kenyan Sibling Engagement Stirs Debate
Catch up on the week's headlines with us on In Case You Missed It. This episode explores a story spa...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS