Nini cha Kufanya Wakati wa Mafuriko
Sepetuko
Apr. 29, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Mafuriko yanayoendelea nchini yameendelea kusababisha mauti na uharibifu mkubwa. Ndiyo, tuilaumu serikali kwa kukosa kujiandalia majanga kama haya, lakini ni muhimu pia uchukue tahadhari. Usalama wako wakati huu unaanza na mimi na wewe.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode