Janga la Mafuriko: Msaada wa Dharura Unahitajika!

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Janga linaloendelea nchini la mafuriko ambayo yamesababisha vifo vya takriban watu 150 linahitaji juhudi za pamoja na dharura kutoka kwa serikali na washikadau wengine. Sepetuko inairai serikali kuweka kando mipango mwingine yoyote isiyokuwa ya dharura na ya lazima, na kulifanya janga hili kuwa kipaumbele.

Share this episode
ELACHI: Sakaja's Team Has Let Nairobians Down, The buck Stops With Him
In today's episode of the Situation Room podcast, we are joined by Beatrice Elachi- MP, Dagoretti No...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS