Kilio cha Mfanyakazi Mkenya
Sepetuko
May. 02, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Kenya inaungana na dunia kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi. Sepetuko inakariri kuwa mfanyakazi Mkenya hana lolote la kusherehekea. Mishahara ni duni, ushuru anaotozwa ni maradufu, mazingira anamofanyia kazi ni duni na masaibu mengine mengi anayokumbana nayo.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode