Kutenga Fedha kwa Ajili ya Waathiriwa wa Mafuriko: Wito wa Uwajibikaji
Sepetuko
May. 06, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Serikali ya Kitaifa na za Kaunti zimeendelea kutangaza kutengwa kwa mabilioni ya pesa kwa ajili ya waathiriwa wa mafuriko nchini na mikakati ya kukabili mafuriko. Wacha fedha hizo zitumiwe ifaavyo na maafisa wanaohusika wawajibishwe kwa matumizi yake.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode