Fedha za Elimu: Hatari kwa Maendeleo ya Elimu ya JSS
Sepetuko
May. 13, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Shule zinapofunguliwa kwa masomo ya muhula wa pili, Sepetuko inairai serikali kuangazia masuala kadhaa kwenye sekta ya elimu. Miongoni mwa masuala hayo ni kucheleweshwa kwa fedha za serikali za kufadhili elimu, na changamoto zinazokumba elimu ya JSS.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode