Ruto na Ushuru: Kutatua Deni au Kutatua Ufisadi?
Sepetuko
May. 16, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Rais William Ruto amekariri kuwa analenga kupandisha hata zaidi ushuru anaotozwa Mkenya, eti ili kupunguza deni la taifa. Sepetuko inamkumbusha Rais kuwa tatizo la Kenya sio la kimapato, ila ni mianya iliyopo ya uporaji wa mali ya umma.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode