Okoa Mpango wa Lishe Shuleni
Sepetuko
May. 20, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Pendekezo la serikali kufutilia mbali mpango wa lishe shuleni sio la hekima. Linatishia kurejesha nyuma hatua zilizopigwa katika kuhakikisha wanafunzi kutoka maeneo kame, mitaa ya mabanda na maeneo mengine yaliyosalia nyuma kimaendeleo wanapata elimu.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode