Serikali Itatue Mgomo wa Walimu wa JSS Kuokoa Elimu
                                    
                                        Sepetuko
                                May. 23, 2024
                            
                            
Jinsi serikali inashughulikia mgomo wa walimu wa JSS kunaonesha serikali isiyojali. Mbona tunachezea elimu ya watoto wetu? Mbona suala hili halifanywi kipaumbele?
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa