Ruto Alifadhiliwa na Nani Kuenda Marekani?
Sepetuko
May. 31, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Madai ya Rais William Ruto kuwa sehemu ya ziara yake kuenda nchini Marekani ilifadhiliwa na marafiki zake ni kinyume na Katiba ya Nchi. Waliomfadhili Rais ni kina nani na walifanya hivyo kwa nia gani?
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode