Hujuma kwa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta. Ni Aibu kwa Taifa.
Sepetuko
Jun. 11, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Hujuma anayopitishiwa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na ofisi yake ni aibu kubwa kwa taifa hili. Rais William Ruto anamkosea heshima Kenyatta na Wakenya wote kijumla kwa kupuuza maslahi ya Kiongozi wa nchi ambaye aliihudumia nchi hii kwa miaka kumi. Ikiwa hujuma hii inatokana na uhasama wa kisiasa wa uchaguzi mkuu uliopita, basi shame on this Government.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode