Kenya Baada ya Miaka Sitini: Mabadiliko Makubwa Yaja!
Sepetuko
Jul. 10, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Miaka sitini tangu kupata uhuru uongozi wa nchi ya Kenya umekuwa ukiendeshwa na wanasiasa wabinafsi wasiomjali yeyote ila maslahi yao tu. Hali inaonekana inabadilika na sasa wananchi wataanza kujiamulia wanavyotaka kuongozwa. Hilo lifanyikapo, basi ole wao hawa wanasiasa. Interesting times ahead!
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode