Miili Tisa Kware Yazua Maswali Kuhusu Ufanisi wa Usalama

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Tukio la kupatikana miili zaidi ya tisa eneo la Kware, Embakasi ni dhihirisho tosha la nchi ambayo taasisi zake za kiusalama hazifanyi kazi, zimefeli pakubwa. Iweje watu wauliwe na miili yao kutupwa bila NIS, DCI au Idara ya Polisi kuwa na ufahamu ya tukio hilo la kihalifu? Tunataka uwajibishwaji wa ofisi husika.

Share this episode
WHAT NEXT FOR RUTO? Standard Editors Podcast
Standard Group editors Charles Otieno, Ken Mijungu, and Kipkoech Tanui explore President Ruto's dile...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS