Miili Tisa Kware Yazua Maswali Kuhusu Ufanisi wa Usalama
Sepetuko
Jul. 16, 2024
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Tukio la kupatikana miili zaidi ya tisa eneo la Kware, Embakasi ni dhihirisho tosha la nchi ambayo taasisi zake za kiusalama hazifanyi kazi, zimefeli pakubwa. Iweje watu wauliwe na miili yao kutupwa bila NIS, DCI au Idara ya Polisi kuwa na ufahamu ya tukio hilo la kihalifu? Tunataka uwajibishwaji wa ofisi husika.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode