Kamwe tusiruhusu wahuni kurejea katika mitaa yetu, na siasa zetu.

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Maandamano dhidi ya serikali yameingiliwa na wahuni ambao nia yao ni kupora, kujeruhi na hata kuua na kuharibu. Jumatano wiki hii, wahuni pia wametatiza mkutano wa Azimio, wakisababisha purukushani na majeraha kwa wanahabari. Ni wakati wahuni hawa na wafadhili wao wakabiliwe vilivyo.

Share this episode
Struggles of Chasing the American Dream
On this episode, Prof David Monda speaks to Dr. Gitau Wairimu. Dr Gitau, is the President & Co-Found...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS