Kamwe tusiruhusu wahuni kurejea katika mitaa yetu, na siasa zetu.

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Maandamano dhidi ya serikali yameingiliwa na wahuni ambao nia yao ni kupora, kujeruhi na hata kuua na kuharibu. Jumatano wiki hii, wahuni pia wametatiza mkutano wa Azimio, wakisababisha purukushani na majeraha kwa wanahabari. Ni wakati wahuni hawa na wafadhili wao wakabiliwe vilivyo.

Share this episode
Struggles of Chasing the American Dream
On this episode, Prof David Monda speaks to Dr. Gitau Wairimu. Dr Gitau, is the President & Co-Found...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS