Mateso ya Wakenya Saudia; serikali iingilie | Sepetuko
Sepetuko
Sep. 15, 2022
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Kwa miaka mingi, Wakenya wanaokwenda Uarabuni, hasa Saudi Arabia kwa kazi za nyumbani wamekuwa wakiteswa, kunyimwa chakula, dawa na wengine kuuliwa. Serikali ya Kenya inafaa kutafuta suluhu ya tatizo hili. Dalmus Sakali anasimulia katika Sepetuko.
RELATED EPISODES
Matukio ndani ya UDA yanaonyesha upungufu wa sera.
Bunge la Kitaifa Laanza Msasa wa Mawaziri Walioteuliwa
Share this episode