Hasla Akosa Usingizi Kufuatia Gharama ya Maisha | Siasa na Gumzo Podcast

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Suala la gharama ya maisha limeendelea kumkosesha Hasla usingizi! Ameamua kutumia mbinu tatu; mbolea ya bei nafuu, serikali na sekta binafsi kuagiza tani elfu miatatu za mbolea na kuagiza mahindi ili kukabili uhaba wa chakula. Atafaulu? Aidha, kuna more goodies kwa mahasla, Rais akipata fedha kutoka Marekani kupiga jeki Hazina ya Hustler Fund. Umesaidika na fedha hizo? Kiwango ulichoomba kimeongezeka? Pia kuna masaibu ya Cherera4. Unasemaje kuwahusu? Tribunal iendelee kuwachunguza au unasema leave them alone jinsi anavyotaka Baba? Wanahabari wetu Moses Kiraese wa Pokot Magharibi na Martin Ndiema akiwa Trans Nzoia wameshiriki gumzo na wananchi.

Share this episode
Mbona Magari ya Umeme? | Uchumi na Biashara Podcast
Baadhi ya kampuni za uagizaji na uuzaji wa magari nchini zimebadili mwelekeo na sasa zinajitosa kati...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS