Nyumba za Bei Nafuu | Uchumi na Biashara Podcast
Uchumi na Biashara
Oct. 25, 2022
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Washikadau mbalimbali wanaunga mkono mpango wa ujenzi wa nyumba kwa bei nafuu unaoendelezwa na serikali, mfano mradi wa Buxton Point katika Kaunti ya Mombasa unaoendelezwa na mfanyabiashara, Suleiman Shahbal na Serikali ya Kaunti ya Mombasa. Robert Menza amezungumza na Martin Kariuki, anayesimamia uuzaji wa nyumba hizo.
RELATED EPISODES
Mbona Magari ya Umeme? | Uchumi na Biashara Podcast
Kuvuma kwa Utalii Krisimasi na Mwaka Mpya | Uchumi na Biashara Podcast
Serikali saidia, biashara zetu zazorota | Uchumi na Biashara Podcast
Share this episode