Kisa Changu Podcast: Kilio cha Mama

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Ruth Keino mkazi wa Nandi ni mama mwenye machungu. Keino amekuwa akitafuta haki tangu mwanawe alipoaga dunia zaidi ya mwaka mmoja uliopita akiwa shuleni. Beryl Cherop aliyekuwa na miaka 16 alifariki dunia miezi michache tu baada ya kujiunga na kidato cha kwanza katika Shule ya Upili ya St Teresa of Avila Girls. Kinachomuumiza Keino roho hata zaidi ni kwamba hakuna mtu ahta mmoja aliyehudhuria hafla ya mazishi ya mwanawe kuifariji familia. Anasema hatachoka hadi pale haki itakapopatikana kufuatia kifo cha mwanawe. Sikiliza masimulizi ya kina katika makala yafuatayo

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS