Kisa Changu Podcast; Jinsi maisha yangu yalivyobadilika baada ya kubandikiziwa figo: Eunice Rop -Sehemu 2

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Baada ya kuhangaika kwa miaka mingi, hatimaye Eunice Rob alifanikiwa kumpata msamaria aliyempa figo kupitia mtandao wa Facebook. Katika sehemu hii ya pili ya mahojiano na Faith Kutere, Rob anasimulia jinsi maisha yake yamebadilika tangu alipopandikiziwa figo. Pia ana ushauri kuhusu umuhimu wa kufanyiwa ukaguzi wa kiafya mara kwa mara. Sikiliza makala yafuatayo.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS