Kisa Changu Podcast: Wanaume wanaochapwa na wake zao wafungua roho

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Visa vya dhuluma za kijinsia vimekuwa zikiripotiwa humu nchini kila kukicha. Hata hivyo mara nyingi utapata kwamba wanawake ndio huwa wepesi wa kuzungumzia dhuluma hizo huku wanaume wakijificha kwa hofu ya unyanyapaa, kuchekwa, kusimangwa na kukejeliwa na wanajamii. Martin Ndiema amewahoji baadhi ya wanaume wanaopita dhuluma hizo ila wanaogopa kutafuta usaidizi. Sikiliza mahangaiko wanayopitia katika masimulizi yafuatayo.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS