Kisa Changu Podcast; Kwa nini niliamua kuwasaidia wanaougua fistula - Sharon Korir. Sehemu ya 2

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Katika sehemu ya pili Wakili Korir anaeleza namna mahangaiko yake yalivyompa msukumo wa kuanzisha Shirika la Save a Woman, Fistula Foundation ili kuwapa matumaini wanawake na wasichana ambao wameathiriwa na Fistula. Akiwa wakili kwa ushirikiano na washikadau mbalimbali, anahisi serikali haijafanya vyema sana katika kuihamasisha jamii kuhusu Fistula hali ambayo imechangia kuwapo kwa unyanyapaa dhidi ya wanawake wanaougua Fistula. Sikiliza masimulizi haya katika sehemu hii ya pili na Carren Papai.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS