Ruto na Maandamano: Sauti za Wapinzani wa Mswada wa Fedha
General Podcasts
Jun. 28, 2024
Katika kipindi hiki cha kwanza cha "Kio Cha Habari," Mike Nyagwoka, Esther Kirong, na Dalmus Sakali wanajadili maandamano dhidi ya mswada wa fedha. Wanajadili maoni ya kizazi cha Gen Z na hisia za taifa kuhusu Rais Ruto na serikali yake baada ya vifo vya kusikitisha na matukio ya kutisha yaliyoshuhudiwa wakati wa maandamano haya. Je, Ruto atachukua hatua gani ijayo, na je, huu ndio mwisho wa utawala wake? Sikiliza kujua zaidi.
RELATED EPISODES
The Inspiring Story Of Dr. Catherine Masitsa
The inspiring Story Of Lorna Joyce founder of Binti Pads.
Living Through the Sierra Leone Conflict: A Survivor's Story