Je, handshake ingine ndio suluhu la Kenya?: Kulikoni podcast
General Podcasts
Apr. 04, 2023
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Kenya imeshuhudia maandamano katika siku za hivi karibuni, kabla ya Rais William Ruto na kinara wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga kukubaliana kutatua mambo yaliyoibuliwa kwa majadilianao. Je, huenda Kenya inaelekea kushuhudia handshake ingine hivi karibuni ama ni maongezi tu? Kupata mengi zaidi, skiza kipindi hiki hadi mwisho. Karibu.
RELATED EPISODES
The Inspiring Story Of Dr. Catherine Masitsa
The inspiring Story Of Lorna Joyce founder of Binti Pads.
Living Through the Sierra Leone Conflict: A Survivor's Story
Share this episode