Elimu ya kiufundi Ukraine; fursa za ajira ni chache - Paul Kurgat

Elimu
Mar. 03, 2022

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Paul Kurgat aliwahi kuwa Balozi wa Kenya nchini Ukraine na pia alisomea Ulaya, hasa Urusi. Kwenye Elimu Podcast, Balozi Kurgat anazungumza na Faith Kutere kuhusu elimu nchini humo na kulinganisha na mfumo wa elimu nchini Kenya. Pia anaeleza jinsi ambavyo vita kati ya Ukraine na Urusi vitakavyowaathiri wanafunzi wanaosomea huko.

Share this episode
MAKING YOUR MONEY WORK FOR YOU IN COLLEGE
The Z Tribe podcast is brought to you by Njeri Gikonyo and Moses Maweu form Standard media. They tal...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS