Je, hanshake ingine ndio suluhu la Kenya?
Siasa
Apr. 04, 2023
Kenya imeshuhudia maandamano katika siku za hivi karibuni, kabla ya Rais William Ruto na kinara wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga kukubaliana kutatua mambo yaliyoibuliwa kwa majadilianao. Je, huenda Kenya inaelekea kushuhudia handshake ingine hivi karibuni ama ni maongezi tu? Kupata mengi zaidi, skiza kipindi hiki hadi mwisho. Karibu.
RELATED EPISODES
Hali ya siasa Afrika Mashariki na mizozo ya DRC na Sudan: Kulikoni Podcast
Nilikuwa darasa moja na Dr. Ruto, Rais Mteule
Daily Brief Podcast; Is Uhuru learning from DP Ruto? Episode 1