Siasa na Gumzo; Kabogo/Kuria walia, Sakaja atetea digrii
Siasa na Gumzo
Jun. 18, 2022
Nyumba ya Kenya Kwanza imeanza kuwaka moto. Kuria na Kabogo wataka mkutano wa dharura wakimshtumu Gachagua kufuatia madai ya udikteta. Aidha, wanadai wana-UDA wanapendelewa katika kampeni za Kenya Kwanza. Kunani? Gachagua amekuwa mzigo Kenya Kwanza? Anavutia kura au anafukuza? Sakata ya Sakaja kuhusu digrii nayo yamfikia Tinga na Hustler. Kelele zimechacha kuhusu kisomo cha Tinga na PHD ya Hustler. Baba awataje classmates wake. Bei za mafuta zimeendelea kupanda. Tuwalaumu nani? Wanahabari wetu Clinton Ambujo wa Kisumu na Martin Ndiema wa Trans Nzoia wanatupambia sehemu hii.
RELATED EPISODES
Kujiunga kwa ODM Na Serikali Kutakomesha Maandamano ya Gen Zs?
Hasla Akosa Usingizi Kufuatia Gharama ya Maisha | Siasa na Gumzo Podcast
Uteuzi wa Makatibu Wazua Tumbojoto, Raila akitaka Waluke Kuachiliwa | Siasa na Gumzo Podcast