Gumzo la Wiki Podcast; Tutarajie miungano gani baada ya Mudavadi kuungana na Ruto? Wakenya wajadili.

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Mjadala mkali umetawala vinywa vya wengi wiki hii, kufuatia hatua ya Mudavadi na Wetangula kujiondoa katika OKA na kuungana na Ruto. Hatua hiyo imechochea gumzo huku wengi wakijiuliza je, Ruto atavuna kura nyingi za Magharibi dhidi ya Raila? Hatima ya Kalonzo katika OKA ni gani hasa? Atawania urais, ama ataungana na Raila katika Azimio la Umoja? Wanahabari wetu John Mbuthia wa Nyeri na Martin Ndiema wa Trans Nzoia wanaangazia makala hapa.

Share this episode
Ruto's first day in office
President William Ruto has approved and sworn in 6 judges rejected by immediate former President Uhu...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS