Uchumi na Biashara Podcast; Wabunge ni wasaliti-deni kila siku
Uchumi na Biashara
Jul. 01, 2022
Wakenya wameendelea kulalamikia kupanda kwa gharama ya maisha, serikali nayo ikizidisha deni hadi trilioni 10 sasa. Aidha, wabunge na maseneta wamelaumiwa kwa kupitisha pendekezo la kuongeza deni la taifa kutoka shilingi trilioni 9, hadi 10 hali inayochangia kupanda kwa bei za bidhaa. Mike Ekutan ametangamana na Wakenya mjini Lodwar, Kaunti ya Turkana.
RELATED EPISODES
Mbona Magari ya Umeme? | Uchumi na Biashara Podcast
Kuvuma kwa Utalii Krisimasi na Mwaka Mpya | Uchumi na Biashara Podcast
Serikali saidia, biashara zetu zazorota | Uchumi na Biashara Podcast