Uchumi na Biashara Podcast: Makazi bora; ushirikiano mwema na serikali
Uchumi na Biashara
Mar. 31, 2022
Serikali ikijizatiti kufanikisha mpango wa ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa Wakenya, Kampuni ya ABC Homes vilevile imeweka mikakati kuhakikisha mpango huo unafaulu. Mhandisi Eveline Muringa ambaye ni Meneja wa Mradi wa ujenzi wa nyumba hizo anasema kwamba lengo lao hasa ni kuhakikisha Wakenya wengi wanamiliki nyumba kwa gharama ya chini. Robert Menza amezungumza naye.
RELATED EPISODES
Mbona Magari ya Umeme? | Uchumi na Biashara Podcast
Kuvuma kwa Utalii Krisimasi na Mwaka Mpya | Uchumi na Biashara Podcast
Serikali saidia, biashara zetu zazorota | Uchumi na Biashara Podcast