Sarafu ya pamoja na boda huru Barani Afrika

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Leo kwenye Makala Uchumi na Biashara mwanahabari wetu wa Kaunti ya Trans Nzoia, Martin Ndiema anaangazia juhudi zinazowekwa na viongozi wa matabaka mbalimbali Barani Afrika kufanikisha kuwapo kwa sarafu moja inayopendekezwa kuitwa AFRO. Aidha amezamia suala la kuafikia boda huru kustawisha uchumi wa bara hili.

Share this episode
QUEEN ELIZABETH II BURIAL
Queen's burial Today we will talk about the Queen's  burial, the bussing of certain leaders to it,...
Why Health Insurance Matters for Kenyans
In this episode of Health and Wellness, we dive into the importance of health insurance in Kenya. Wh...
.
RECOMMENDED NEWS