Je, unafaa kukutana na mpenzi wa mtandaoni baada ya muda gani? | Vijana na Mapenzi.
Vijana na Mapenzi
Nov. 10, 2022
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Mitandao ya kijamii siku hizi imeanza kutumiwa na watu wengi kuwatafuta wachumba. Je, ni muda upi unaostahili kuchukua kabla ya kukutana ana kwa ana na mchumba wa mtandaoni? Tumewashirikisha wananchi katika gumzo hili wakiwamo vijana waliojaribu mapenzi ya mtandaoni vilevile mshauri kulihusu suala hili.
RELATED EPISODES
Tabia za mwanaume mwenye pesa | Vijana na Mapenzi Podcast
abia za mwanaume mwenye pesa | Vijana na Mapenzi Podcast
Pesa hubadili tabia za mwanamke? | Vijana na Mapenzi Podcast
Share this episode