Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia
Hoja za Wahariri
Feb. 25, 2022
Your browser doesn’t support HTML5 audio
Mwanahabari mstaafu wa kimataifa, Abdu Mtullya anasema vita vya Urusi na Ukraine havistahili na huenda vikaathiri zaidi uchumi duniani, ikiwamo Afrika. Vita hivyo vimesababisha kupanda kwa bei ya mafuta, Urusi ikiendelea kurusha makombora katika ngome za Ukraine, hali ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu mwaka wa 2014.
RELATED EPISODES
Mzozo wa Urusi na Ukraine; Mohamed Abdul-Rahman anachambua
Hoja za Wahariri: Kitendawili cha mili Mto Yala - ndani ya magunia
Share this episode