Mzozo wa Urusi na Ukraine; Mohamed Abdul-Rahman anachambua
Hoja za Wahariri
Feb. 22, 2022
Je, unafahamu chimbuko la mgogoro kati ya Urusi na Ukraine, athari zake na unamaanisha nini kwa Afrika na dunia nzima? Mwanahabari/ Mhariri mstaafu na mchambuzi wa masuala ya kimataifa, Mohamed Abdul-Rahman anasimulia.
RELATED EPISODES
Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia
Hoja za Wahariri: Kitendawili cha mili Mto Yala - ndani ya magunia