Elimu Podcast; Baraza la Kiswahili; Prof. Kandagor Mosol-CHAKITA
Elimu
Nov. 13, 2021
Harakati za kuhakikisha kuwa Kenya inakuwa Baraza la Kiswahili zimeshika kasi. Wizara ya Michezo na Utamaduni imeandaa warsha (tarehe 11 na 12 Novemba, 2021) jijini Nairobi na kuwashirikisha waandishi, wahadhiri na wawakilishi wa vyama vya Kiswahili kikiwamo CHAKITA, ili kujadili suala hili. Sikiliza podcast hii ambapo Geoffrey Mung'ou anamhoji Profesa Kandagor Mosol, Mwenyekiti wa CHAKITA vilevile mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Moi.
RELATED EPISODES
CBC irekebishwe; Humphrey Obarah
Wanafunzi pacha; alama sawa, KCPE na KCSE
Elimu ya kiufundi Ukraine; fursa za ajira ni chache - Paul Kurgat
Elimu: Siku ya Kiswahili Duniani (UNESCO); tukitumie ofisini, siasani....