Elimu Podcast; Baraza la Kiswahili; Prof. Kandagor Mosol-CHAKITA

Elimu
Nov. 13, 2021

Your browser doesn’t support HTML5 audio

Harakati za kuhakikisha kuwa Kenya inakuwa Baraza la Kiswahili zimeshika kasi. Wizara ya Michezo na Utamaduni imeandaa warsha (tarehe 11 na 12 Novemba, 2021) jijini Nairobi na kuwashirikisha waandishi, wahadhiri na wawakilishi wa vyama vya Kiswahili kikiwamo CHAKITA, ili kujadili suala hili. Sikiliza podcast hii ambapo Geoffrey Mung'ou anamhoji Profesa Kandagor Mosol, Mwenyekiti wa CHAKITA vilevile mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Moi.

Share this episode
MAKING YOUR MONEY WORK FOR YOU IN COLLEGE
The Z Tribe podcast is brought to you by Njeri Gikonyo and Moses Maweu form Standard media. They tal...
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
Who is Benni McCarthy? The new Harambee Stars Coach
.
RECOMMENDED NEWS